News

Aviel alitoa wito mahususi kwa wasanii wa Afrika Mashariki hususan Tanzania kujitokeza kwa wingi kuwania tuzo hizi ili pia ...
Takriban watu 60 waliuawa mwaka jana na vikosi vya usalama katika wiki za maandamano ya kupinga ongezeko la ushuru na hali ...
Akizungumza na Mwananchi, Lamata amesema taarifa za msiba huo alipokea jioni ya Juni 24, 2025, wakati akiwa safarini akitokea ...
Utekelezaji wa adhabu hiyo umefanyika leo Jumatano Juni 25, 2025 baada ya mahakama nchini Iran kuwakuta raia hao wa Israel na ...
Baba huyo wa watoto sita alirejea nyumbani kwake mwishoni mwa wiki iliyoisha akiwa na mkongojo na sanduku dogo, mali ya ...
Hegemony ni nadharia ya dola moja kuongoza nyingine kisiasa, kiuchumi na kijeshi. Taifa moja linakuwa kiranja wa mataifa ...
Simba imethibitisha kucheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Yanga ‘Kariakoo Derby’ leo d kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mechi hiyo imepangwa kuchezwa kuanzia saa 11:00 jioni ambapo Yanga itakuwa mwenyeji ...
Japo haijafahamika lengo la vijana nchini humo kuingia barabarani hata hivyo, taarifa zinadai azma ya vijana hao ni kupinga hali ya maisha inayoendelea pamoja na kutoridhishwa na utendaji ...
Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 unakaribia, na taifa la Tanzania linaingia kwenye kipindi muhimu cha mchakato wa kidemokrasia.
Bunge la 12 linakaribia kuvunjwa hivi karibuni. Hii ni makala ya kuwaomba Watanzania tusiruhusu tena Bunge lisilo na kambi ...
Juni 13, 2025, Israel ilianza kuishambulia Iran kwa makombora yake ikilenga vinu vya nyuklia na makamanda wa Jeshi la Iran ...
Ukiacha wakuu wa mikoa, viongozi wengine walioachwa kwenue uteuzi huo ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli ...